Dr. Shukuru Kawambwa ambaye sasa ni Waziri wa Miundombinu akiangalia chanzo cha Maji cha Mto Mbwinji uliopo mkoani Mtwara, aliyevaa shati la kitenge ni Mkuu wa Wilaya ya Masasi Bw. Amanzi na katikati ni Mkurugenzi wa Maji Mijini Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bw. Lupimo.
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro Mwantum Malale akinutunuku shahada ya kwanza ya Mawasiliano ya Umma (BA Mass Communication) hapa ilikuwa katika mahafali ya kwanza ya chuo hicho, anayeangalia ni Rais mstaafu wa Serikali ya awamu ya tatu Benjamin Mkapa.
Hapa nilikuwa katika hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili yangu baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza ya Mawasiliano ya Umma (BA Mass Communication) katika chuo cha Waislamu Morogoro.