Monday 30 November 2009

Mzee Tupo Pamoja!


Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Afisa Habari wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Ally Kondo wakati wa maadhimisho ya miaka kumi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika mkoani Arusha.