Thursday 29 April 2010
Wednesday 28 April 2010
Tuesday 27 April 2010
Hali Tete Dar
Hali haikua shwari kabisa kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam jana kufuatia mvua kubwa kunyesha na kusababisha foleni kubwa iliyowalazimu baadhi ya watu kutembea kwa miguu. Hali hiyo pia ilipelekea watu wanaotumia magari kuchukua muda mrefu sana kelekea 'makwao' kwa mfano mtu anayekaa Mbezi ya Kimara ilimlazimu kuchukua zaidi ya saa nne ili afike nyumbani
Monday 26 April 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)