Wednesday 19 May 2010

Rage Akabidhiwa Ofisi


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba Hassan Dalali akimkabidhi mwenyekiti mpya wa klabu hiyo Ismail Aden Rage Kikombe cha ubingwa wa Vidacom wakati wa makabidhiano ya ofisi na vifaa vya klabu hiyo

Nasi Tumo


Hapa nipo na mtumishi mwenzangu Shadrack Makongoro ambaye ni Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT)

Tuesday 18 May 2010

Pinda Aukwaa Ukamanda wa Vijana


Mbunge wa kuteuliwa Kingunge Ngombare Mwiru akimvisha ukamanda wa vijana Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Wasanii Watangaza Kuchangia CCM