Thursday 13 May 2010
Serikali Yafanya Kikao na Viongozi wa Dini
Mmoja wa Masheikh wanaohudhuria kikao cha Serikali na viongozi wa dini akichangia mada katika kikao hicho
Wednesday 12 May 2010
JK na Geubuza Wazindua Daraja la Umoja
Babu Kaju Akutana na Dk. Batilda
Spika Sitta Akiwa Uturuki
Tuesday 11 May 2010
JK Akutana na Msimamizi wa Miradi ya UNDP
JK Awaapisha Viongozi wa Tume ya Maadili
Monday 10 May 2010
Sunday 9 May 2010
Rage Aukwaa Uenyekiti Simba
Mwenyekiti mpya wa Simba Ismail Aden Rage akipongezwa na aliyekuwa mgombea wa uenyekiti wa klabu hiyo Bw. Hassan Hasanoo mara baada ya kutangazwa mshindi na kamati ya uchaguzi ya Simba katika uchaguzi uliofanyika jana kwenye bwalo la maafisa wa polisi Oysterbay jijini Dar es salaam.
Uongozi mpya wa Simba ukiwa katika picha ya pamoja
Subscribe to:
Posts (Atom)