Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Japhet Sagasii akimkabidhi cheti cha kumaliza mafunzo ya Uongozi na Maadili Naibu Katibu Mtendaji wa Tume Adam Mambi huko Bagamoyo
Tuesday 20 April 2010
Mafuta na Maji Kulikoni?
Wanasheria wa Tume Wafanya Ziara Mbinga, Songea
Baadhi ya Watendaji wa Serikali wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa na Wanasheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania waliotembelea Wilaya hiyo hivi karibuni
Baadhi ya Mkatibu Tarafa na Wazee wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wakifuatilia mada
Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Flora Tenga akiwasilisha mada mbele ya Watumishi wa Serikali wilayani Mbinga mkoani Ruvuma
Ofisa Sheria wa Tume Flaviana Charles akionesha msisitizo wakati akiwasilisha mada yake ya Sheria ya Mirathi
Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Flora Tenga akiwasilisha mada mbele ya Watumishi wa Serikali wilayani Mbinga mkoani Ruvuma
Ofisa Sheria wa Tume Flaviana Charles akionesha msisitizo wakati akiwasilisha mada yake ya Sheria ya Mirathi
Subscribe to:
Posts (Atom)