Tuesday 20 April 2010

Mafunzo ya Uongozi na Maadili

Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Japhet Sagasii akimkabidhi cheti cha kumaliza mafunzo ya Uongozi na Maadili Naibu Katibu Mtendaji wa Tume Adam Mambi huko Bagamoyo

Watumishi wa Serikali wakiwa katika moja ya mafunzo yao ya Uongozi na Maadili


Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi na Maadili wakifurahia wakati wakihitimisha mafunzo yao katika Hoteli ya Kilomo Bagamoyo


Mafuta na Maji Kulikoni?

Dereva akijaribu kuondoa maji yaliyochanganywa na mafuta katika gari baada ya gari hilo kuzimika kufuatia kuwekewa mafuta yaliyochanganywa na maji

Mafuta yaliyochanganywa ma maji yakitiririka


Wanasheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania pamoja na Dereva wakisoma 'catalogy' ya gari ili kupata ufumbuzi wa kuzimika kwa gari


Wanasheria wa Tume Wafanya Ziara Mbinga, Songea

Baadhi ya Watendaji wa Serikali wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa na Wanasheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania waliotembelea Wilaya hiyo hivi karibuni

Baadhi ya Mkatibu Tarafa na Wazee wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wakifuatilia mada

Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Flora Tenga akiwasilisha mada mbele ya Watumishi wa Serikali wilayani Mbinga mkoani Ruvuma



Ofisa Sheria wa Tume Flaviana Charles akionesha msisitizo wakati akiwasilisha mada yake ya Sheria ya Mirathi