Thursday, 4 February 2010

Mambo Ya Bungeni


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Bw. Joel Bendera (Kushoto) akibadilishana mawazo nje ya ukumbi wa Bunge na Msajili wa vyama vya Siasa nchini John Tendwa

Mambo ya Hakimiliki


Mhadhiri wa sheria Bw. Adam Mambi akitoa mada juu ya mapendekezo ya sheria mpaya ya Hakimiliki katika warsha iliyofanyika jijini Dar es salaam.

Monday, 30 November 2009

Mzee Tupo Pamoja!


Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Afisa Habari wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Ally Kondo wakati wa maadhimisho ya miaka kumi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika mkoani Arusha.

Saturday, 15 August 2009

Duuuh! Hii Kali


Hapo tupo Pamoja

Hivi ndivyo watakavyokaa maelfu ya wapenda michezo wakati wa kushuhudia mashindano ya Olympic yajayo huko nchini Uingereza.

Mambo ya Olympic UK

Wataalamu wa ujenzi wakiwa katika moja ya viwanja vinavyojengwa kwa ajili ya Mashindano ya Olympic yanayotarajiwa kufanyika nchini Uingereza.

Monday, 13 July 2009

Chanzo cha Maji

Dr. Shukuru Kawambwa ambaye sasa ni Waziri wa Miundombinu akiangalia chanzo cha Maji cha Mto Mbwinji uliopo mkoani Mtwara, aliyevaa shati la kitenge ni Mkuu wa Wilaya ya Masasi Bw. Amanzi na katikati ni Mkurugenzi wa Maji Mijini Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bw. Lupimo.