Sunday, 16 March 2008

'Hapo vipi'

Dk. Shukuru Kawambwa 'akipampu' maji ya kisima Wilayani Bariadi mkoa wa Shinyanga. Wa kwanza kushoto ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dk. Brigedia Jenerali Yohana Balele na katikati ni mkuu wa wilaya ya Bariadi Baraka Konisaga.

No comments: