
Hapa mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete wakati huo akiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa na wahitimu wa Chuo cha Mahusiano ya Kimataifa na Diplomasia Kurasini Dar es Salaam. Mimi ni wa pili kushoto.
No comments:
Post a Comment