Monday 17 March 2008

Kilwa

Dk. Shukuru Kawambwa anayeangalia mbele akimsikiliza mkuu wa wilaya ya Kilwa Bw. Nurdin Babu. Hapa ilikuwa ofisini kwa mkuu wa wilaya mkoa wa Lindi wakati Dk. Kawambwa alipotembelea wilaya hiyo alipokuwa Waziri wa Maji.

No comments: