Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Saturday, 29 March 2008
Mambo ya Lusaka
Hapa nikiwa na waandishi wenzangu katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Lusaka nchini Zambia, wa kwanza kulia ni John Wanyancha na katikati ni Omar Mtangilwa. Hii ilikuwa ni mwaka 2000.
No comments:
Post a Comment