Saturday, 15 March 2008

Shaka Ssali

Mtangazaji wa Sauti ya Amerika (VOA) alipotembelea Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro, mwishoni mwa mwaka 2007. Hapa anaongea na vijana wa Mawasiliano ya Umma mwaka wa tatu (hawapo pichani)

No comments: