Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Thursday, 20 March 2008
Tutapata maji kweli?
Baadhi ya wakazi wa Meatu mkoa wa Shinyanga wakisubiri kuchota maji. Kumekuwa na matatizo ya maji katika eneo hilo jambo linalofanya wananchi wa Wilaya hiyo kutumia muda mwingi kutafuta maji.
No comments:
Post a Comment