Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Monday, 14 April 2008
Duuh! Mvua nayo balaa
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro wakipita kwa taabu kukwepa madimbwi ya maji kuelekea darasani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya Tanzania.
No comments:
Post a Comment