Monday, 14 April 2008

Duuh! Mvua nayo balaa



Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro wakipita kwa taabu kukwepa madimbwi ya maji kuelekea darasani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya Tanzania.

No comments: