Wednesday, 2 April 2008

Hapa kazi tu!

Mpiga picha wa Kituo cha Televisheni Zanzibar (TVZ) Salehe Masoud akifanya kazi yake. Hapa ilikuwa katika mbuga ya Wanyama ya Mikumi mkoani Morogoro. Wa kwanza kushoto ni mwandishi wa habari maarufu kutoka Uingereza Vyonne Ridley na anayemfuatia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) Asiyatu Msuya.

No comments: