Wednesday, 9 April 2008

Kibuyu chirizi

Watoto wakinawa uso kwa kutumia maji yanayotoka katika Kibuyu Chirizi. Shule za Msingi zimeshauriwa kuwa na utaratibu utakaowawezesha wanafunzi kunawa maji usoni mara kwa mara kwa lengo la kuepuka ugonjwa wa Trachoma nchini Tanzania.

No comments: