Tuesday, 1 April 2008

Kumbe mko 'fit'

Mtaalamu wa masuala ya ukaguzi kutoka nchini Uingereza Dk. Sarah Carthew akikagua chumba cha Habari katika chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM). Hii ni wakati alipofanya ziara ya kukagua maeneo mbalimbali ya chuo hicho.

No comments: