Tanzania na Rwanda leo ziko katika maadhimisho ya kukumbuka ya vifo vya viongozi wao. Wakati watanzania hususan Wazanzibar wanakumbuka kuuawa kwa Rais wao wa kwanza Abeid Amani Karume Wanyarwanda wao wanakumbuka kifo cha aliyekuwa Rais wao Juvenal Habyarimana aliyeuawa pamoja na yule wa Burundi Cyprian Ntayamira katika shambulio la ndege karibu kabisa na mji wa Rwanda Kigali . Viongozi hao wawili walikuwa wakitoka katika mkutano wa usuluhishi wa mgogoro katika nchi zao nchini Tanzania.
Tunawatakia kila la kheri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment