Picha ya pili mshambuliaji hatari wa timu ya soka ya MUM Haroub Said akitafakari kabla ya timu yake kupambana na timu ya chuo kikuu cha Mzumbe.
Picha ya tatu wachezaji wa timu ya netball ya MUM wakipeana mawaidha wakati wa mpambano wao dhidi ya MOTCO. Michuano hiyo ya Bonanza kwa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Morogoro inafanyika katika uwanja wa Jamhuri Morogoro.

No comments:
Post a Comment