Leo timu ya soka ya Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM FC) imeanza vyema mashindano ya Bonanza la vyuo vya mkoa wa Morogoro yanayojulikana kama CRDB-MOHLISO Bonanza yanayoendelea katika uwanja wa Jamhuri. Katika mchezo huo MUM iliibuka na ushindi wa magoli 2-1. wafungaji wa mabao ya MUM ni Haroub Said na Seif Hamza.
Monday, 21 April 2008
MUM yaichapa Ardhi katika Bonanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment