Monday, 21 April 2008

MUM yaichapa Ardhi katika Bonanza


Picha ya kwanza wachezaji wa MUM FC wakipata mawaidha kutoka kwa kocha wao Malyo Njedengwa Cheto aliyevaa fulana nyeupe na track ya bluu wakati wa mapumziko.Picha ya pili baadhi ya viongozi na mashabiki wa MUM wakiwapa mawili matatu wachezaji wao muda mfupi kabla ya kuanza ngwe ya mwisho ya mpambano wao dhidi ya Ardhi.


Leo timu ya soka ya Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM FC) imeanza vyema mashindano ya Bonanza la vyuo vya mkoa wa Morogoro yanayojulikana kama CRDB-MOHLISO Bonanza yanayoendelea katika uwanja wa Jamhuri. Katika mchezo huo MUM iliibuka na ushindi wa magoli 2-1. wafungaji wa mabao ya MUM ni Haroub Said na Seif Hamza.

No comments: