
Hapa Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof Mark Mwandosya akiwa katika ziara yake ya kutembelea Mtambo wa Ruvu. Hii ilikuwa ni siku yake ya kwanza kuanza kazi katika Wizara kufuatia kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa. Picha hii niliinasa nilipokuwa ziarani na mheshimiwa Waziri.
No comments:
Post a Comment