Kwa Heri!
Hapa nipo na wenzangu Jamal Hashim (Chambi) kushoto, Hatib Mkabara wa pili kulia na Kassim Waziri (Katelephone) wa kwanza kulia wakati wa sherehe ya kuagwa wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) sherehe hiyo iliandaliwa na Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu Tanzania (TAMSA)
No comments:
Post a Comment