Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Saturday, 4 October 2008
Mambo ya Zaka
Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamekusanyika karibu kabisa na Soko la Kisutu kwa ajili ya kusubiri Zaka kutoka kwa tajiri mmoja waliyemtaja kwa jina la Baghdad
No comments:
Post a Comment