Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Saturday, 29 November 2008
Mambo ya Shampeeeni
Hapa nilikuwa katika hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili yangu baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza ya Mawasiliano ya Umma (BA Mass Communication) katika chuo cha Waislamu Morogoro.
No comments:
Post a Comment