Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Sunday, 2 May 2010
JK Akiwa Uganda
Rais Jakaya Kikwete akiwa na mwenyeji wake Yoweri Museveni (katikati) na Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga wakati alipohudhuria mkutano juu ya masuala ya uwekezaji kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika nchini Uganda
No comments:
Post a Comment