
Mwenyekiti mpya wa Simba Ismail Aden Rage akipongezwa na aliyekuwa mgombea wa uenyekiti wa klabu hiyo Bw. Hassan Hasanoo mara baada ya kutangazwa mshindi na kamati ya uchaguzi ya Simba katika uchaguzi uliofanyika jana kwenye bwalo la maafisa wa polisi Oysterbay jijini Dar es salaam.

Uongozi mpya wa Simba ukiwa katika picha ya pamoja

No comments:
Post a Comment