Tuesday, 11 May 2010

JK Awaapisha Viongozi wa Tume ya Maadili


Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Damian Lubuva kuwa mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Uongozi Ikulu Dar es Salaam.


Rais Kikwete akibadilishana mawazo na uongozi wa Tume ya Maadili ya Uongozi mara baada ya kuuapisha

No comments: