Wednesday, 19 March 2008

Hapa ni kazi tu

Wafanyakazi wakiendelea na ujenzi wa Bwawa la New Solar lililopo wilaya ya Maswa mkoa wa Shinyanga ambalo liko katika hatua za mwisho za ujenzi. Niliinasa picha hii nilipokuwa katika ziara na Dk. Shukuru Kawambwa alipokuwa Waziri wa Maji.

No comments: