Pata picha,Habari na mambo mbalimbali katika Mtazamo
Wednesday, 19 March 2008
Hapa ni kazi tu
Wafanyakazi wakiendelea na ujenzi wa Bwawa la New Solar lililopo wilaya ya Maswa mkoa wa Shinyanga ambalo liko katika hatua za mwisho za ujenzi. Niliinasa picha hii nilipokuwa katika ziara na Dk. Shukuru Kawambwa alipokuwa Waziri wa Maji.
No comments:
Post a Comment