Gazeti hili la TAFAKURI hutolewa na baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) Kitivo cha Mawasiliano ya Umma mwaka wa tatu . Hii ni siku moja baada ya uchaguzi wa kumtafuta Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi ya Chuo hicho (MUMSO). Utolewaji wa gazeti hili ni ishara dhahiri kuwa chuo hicho cha Waislamu 'kimewapika' vijana wake kuingia katika soko la ajira. Mhariri Mtendaji wa gazeti hili ni Abdulwakil Saiboko, Msanifu Kurasa Haji Athuman na Mhariri Mshiriki ni mimi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment