
Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Waislamu Morogoro(MUMSO) Bw. Khamis Rajabu akionesha msisitizo mara baada ya kutangazwa kuwa kiongozi wa jumuiya hiyo. Bw. Rajabu ameshika nafasi hiyo baada ya Rais Siraji Jafari kumaliza kipindi chake cha uongozi. picha hii ni kwa hisani ya Abdulwakil Saiboko.

No comments:
Post a Comment