Monday, 17 March 2008

'Rais'

Rais mpya wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Chuo Cha Waislamu Morogoro (MUMSO) Khamis Rajabu (kushoto) na Makamu wake Shekha Khamis muda mfupi baada ya kutangazwa kushika nyadhifa hizo jana. Picha hii ni kwa hisani ya Abdulwakil Saiboko.

No comments: