Saturday, 29 March 2008

Nimewakubali!

Mkuu wa Chuo cha Waislamu Morogoro (MUM) Bi. Mwantum Malale akizungumza na mtaalamu wa masuala ya ukaguzi kutoka nchini Uingereza Dk. Sarah Carthew. Mtaalamu huyo amekitembelea chuo hicho kwa ajili ya kukikagua kwa maendeleo ya baadaye.

No comments: