Saturday, 29 March 2008

Bado tunakukumbuka


Hapa nipo na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania marehemu Dk. Omar Ali Juma. Hii ilikuwa mwaka 1999 nyumbani kwa Dk. Omar Oyesterbay Dar es Salaam.

No comments: