Saturday, 15 March 2008

Papai

Hapa ni Morogoro kwenye maonesho ya Nanenane 2007. Pichani ni kijana wa Muslim University of Morogoro Bashir Salum akijipima nguvu kwa kunyanyua Papai. Haya mambo yanawezekana kama wakulima wetu wakiwezeshwa.

No comments: