Saturday, 15 March 2008

Maji

Mbunge wa Same Mashariki (CCM) Mheshimiwa Anne Kilango Malecela akimtwisha mtoto ndoo ya Maji. Anaye 'pampu' maji ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Taifa Zanzibar Bi. Castico. Miradi kama hii ni muhimu kwa mustakbali wa wananchi wetu haswa wa vijijini. Hapa ni Kijiji cha Kihurio Same Mkoa wa Kilimanjaro.

No comments: