Monday, 17 March 2008

Furaha

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro wakifurahia ushindi alioupata Hamis Rajabu katika kinyang'anyiro cha urais wa MUMSO. Bw. Rajabu alimshinda Mzee Mzee na hivyo kuukwaa wadhifa huo. Hii picha ni kwa hisani ya Abdulwakil Saiboko.

No comments: