Thursday, 4 February 2010

Moo na Miaka 33 ya CCM


Mbunge wa jimbo la Singida mjini Bw. Mohamed Dewji (wa pili kulia) akipokea maandamano ya Umoja wa Wanawake Jimbo la Singida wakati wa maadhimisho ya miaka 33 ya Chama Cha Mapinduzi mkoani Singida.

No comments: