Tuesday, 20 April 2010

Mafunzo ya Uongozi na Maadili

Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Japhet Sagasii akimkabidhi cheti cha kumaliza mafunzo ya Uongozi na Maadili Naibu Katibu Mtendaji wa Tume Adam Mambi huko Bagamoyo

Watumishi wa Serikali wakiwa katika moja ya mafunzo yao ya Uongozi na Maadili


Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi na Maadili wakifurahia wakati wakihitimisha mafunzo yao katika Hoteli ya Kilomo Bagamoyo


No comments: