Mafunzo ya Uongozi na Maadili
Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Japhet Sagasii akimkabidhi cheti cha kumaliza mafunzo ya Uongozi na Maadili Naibu Katibu Mtendaji wa Tume Adam Mambi huko Bagamoyo
Watumishi wa Serikali wakiwa katika moja ya mafunzo yao ya Uongozi na Maadili
Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi na Maadili wakifurahia wakati wakihitimisha mafunzo yao katika Hoteli ya Kilomo Bagamoyo
No comments:
Post a Comment