Tuesday, 20 April 2010

Mafuta na Maji Kulikoni?

Dereva akijaribu kuondoa maji yaliyochanganywa na mafuta katika gari baada ya gari hilo kuzimika kufuatia kuwekewa mafuta yaliyochanganywa na maji

Mafuta yaliyochanganywa ma maji yakitiririka


Wanasheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania pamoja na Dereva wakisoma 'catalogy' ya gari ili kupata ufumbuzi wa kuzimika kwa gari


No comments: