Saturday, 29 November 2008

Mambo ya Mahafali

Hii ilikuwa ni muda mchache baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza ya Mawasiliano ya Umma nikiwa na wenzangu Abdulwakil Saiboko na Simba Shaaban.

Ben Mkapa

Rais mstaafu wa Serikali ya awamu ya tatu Benjamin Mkapa naye hakuwa nyuma katika mahafali ya kwanza ya Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM)

Mambo ya Shampeeeni

Hapa nilikuwa katika hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili yangu baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza ya Mawasiliano ya Umma (BA Mass Communication) katika chuo cha Waislamu Morogoro.

Saturday, 4 October 2008

Bahari Beach

Hii ni moja ya Beach zilizo na mvuto nchini Tanzania

Vinyago


Ngeleja akiwa na Waandishi

Waziri wa Nishati na Madini Bw. Ngeleja akiongea na waandishi wa habari juu ya mgao wa umeme nchini.

Mambo ya Zaka


Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamekusanyika karibu kabisa na Soko la Kisutu kwa ajili ya kusubiri Zaka kutoka kwa tajiri mmoja waliyemtaja kwa jina la Baghdad